Sunday, June 8, 2008

RAUNDI YA PILI ILIVYOKUWA

Wikiendi hii matokeo ya mechi zote yalikuwa kama ifuatavyo:
Tanzania ililala mbele ya Cape Verde 1-0 kwa bao la Babanco. Cameroon ikaichabanga Mauritius 3-0 kwa mabao ya Andry Bikey, Etoo na Bebey Mbangue Gustave.
Kundi la Pili Zimbabwe iliichapa Namibia kwa 2-0 mabao ya Gilbert Mushanghazike. Zimbabwe imejaza mastaa wa nchi za Ulaya na Afrika Kusini sio timu ya kubeza.
Kenya waliwachabanga Guinea bao 2 - 0. Uganda wakabumundwa bao 4 - 1 na Benin baada ya uzembe wa golikipa Dennis Onyango. Rwanda wakawalaza Ethiopia ugenini 2 - 1. Burundi wakalazwa na Burkinafaso. Kwa ujumla hadi sasa matokeo ya raundi mbili ni:

No comments: