Sunday, June 15, 2008

USHUHUDA NA BONGO SOKA UWANJA MKUU WA TAIFA

Bongo soka ilishuhudia mechi ya jumamosi. Hapo chini nipo na mdau mwenzangu tukijiaandaa kuingia. Shuhudia hali ilivyokuwa katika picha.

Hapa wadau tukiwa nje ya lango kuu


Ninafuatilia mechi hapo juu kwenye viti vya makabwela (5000/=)

Nje ya uwanja kunavyoonekana

Kwa nje, gari ya Kamanda Kova ilipaki ndani ya jiwanja

Kiwanja kilijaa pomoni.Hapa nyimbo za Taifa zinapigwa

No comments: