Bongo soka ilishuhudia mechi ya jumamosi. Hapo chini nipo na mdau mwenzangu tukijiaandaa kuingia. Shuhudia hali ilivyokuwa katika picha.
Hapa wadau tukiwa nje ya lango kuu
Ninafuatilia mechi hapo juu kwenye viti vya makabwela (5000/=)
Nje ya uwanja kunavyoonekana
Kwa nje, gari ya Kamanda Kova ilipaki ndani ya jiwanja
Kiwanja kilijaa pomoni.Hapa nyimbo za Taifa zinapigwa
No comments:
Post a Comment